FG

PAGES

WANAFUNZI WA SOCIOLOGY WA CHUO KIKUU CHA DODOMA WASHEREHEKEA MIAKA 50 YA UHURU KWA KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA KATIKA UKUMBI WA RYAL VILLAGE USIKU WA KUAMKIA LEO

Baadhi ya walimu wakiingia ukumbuni tayari kwa sherehe kuanza
Baadhi ya Wanafunzi wakitafakari mambo katika sherehe hiyo.
Mgeni rasmi akiwa pamoja na walimu wa shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu cha Dodoma katika sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza wa shahada ya sosholojia ya Chuo Kikuu cha Dodoma iliyofanyika katika ukumbi wa royal village usiku wa kuamkia leo
Baadhi ya Wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakiwa na furaha ya sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa shahada ya sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma katika sherehe iliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa royal village
Wawakilishi wa Mwaka Wa Kwanza Wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa mbele kuwawakilisha wenzao wa mwaka wa kwanza katika sherehe ya kuwakaribisha iliyofanyika katika ukumbi wa royal village usiku wa kuamkia leo
Muda wa keki ulipowadia na hiyo ni keki kwaajili ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza ikiwa na maneno ya ukaribisho kama inavyoonekana
Zainabu Na Musa Wote kutoka Mwaka Wa Kwanza wakijiandaa kukata keki kama ishara ya upendo na furaha katika sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza wa shahada ya kwanza ya sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa royal village
Dada Zainabu Na Kaka Mussa wote kutoka Mwaka Wa Kwanza Wakikata Keki kuashiria Ishara ya Furaha na Upendo Katika Sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza iliyofanyika Katika Ukumbi Wa Royal Village usiku wa kuamkia leo
Kaimu Mkuu Wa Wilaya Ya Dodoma Mjini Na Ambaye alikua Mgeni rasmi wa Sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza akimlisha keki Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa shahada ya kwanza ya sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Mussa katika sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa royal village
 Kaimu MKuu Wa Wilaya Ya Dodoma Mjini akilishwa keki na Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Zainabu katika Sherehe ya kuwakaribisha Mwaka Wa Kwanza wa Sosholojia wa UDOM
Kaimu Mkuu wa Wilaya Ya Dodoma Mjini Alipofungua Jukwaa la Muziki tayari kwa wanazuoni hao kuserebuka huku akicheza na mwanafunzi wa mwaka wa pili wa sosholojia Alice
Wanafuni wakiserebuka mara baada ya mgeni rasmi kufungua rasmi mziki tayari kwa vijana kuserebuka
Wanafunzi wakiserebuka staili ya kwaito kama wanavyoonekana katika picha ya pamoja
Nikiwa na Mmoja Wa Wanafunzi Wa Sosholojia Mwaka Wa Tatu Godfrey(wa Kwanza Kushoto) katika picha ya pamoja ndani ya sherehe ya kuwakaribisha mwaka wa kwanza

No comments:

Post a Comment