FG

PAGES

WANAFUNZI WA SHAHADA YA KWANZA YA SOSHOLOJIA YA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) WAPOKEA MWAKA KWA UPANDAJI WA MITI MKOA

 Baadhi ya wanafunzi wa shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakisikiliza kwa makini wakati wakipewa elimu ya mazingira wakati walipoenda kupanda miti katika Shule zilizopo Mjini Dodoma
 Mmoja wa Wanafunzi wa shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Dorry Michael akipanda mti katika Shule ya Sekondari ya Itenga iliyopo Nkuhungu Mjini Dodoma
 Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa wanapanda Miti katika Shule ya Sekondari ya Itenga iliyopo Nkuhungu,Wilaya ya Dodoma Mjini Mkoani Dodoma
 Wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakipanda miti katika Shule ya Sekondari ya Itenga iliyopo Nkuhungu wilaya ya Dodoma Mjini Mkoani Dodoma
Baadhi ya wanafunzi wa Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa katika Picha ya Pamoja na mratibu wa elimu wilaya ya Dodoma Mjini mara baada ya Kumaliza zoezi la upandaji wa Miti katika Shule ya Sekondari Itega iliyopo Nkuhungu, Wilaya ya Dodoma Mjini, Mkoani Dodoma

No comments:

Post a Comment